top of page
Abstract Background
Search

Dkt. Zarau Kibwe Mkurugenzi Mpya Benk ya Dunia

  • Writer: Leo Nzali
    Leo Nzali
  • Oct 26, 2024
  • 1 min read

Benki ya Dunia imemchagua Mtanzania, Dk. Zarau Kibwe, kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika inayojumuisha nchi 22 ikiwemo Tanzania, nafasi ambayo Tanzania imewahi kuihudumu miaka 54 iliyopita.


Uamuzi wa Dk. Kibwe kuipewa nafasi hiyo nyeti katika Taasisi hiyo kubwa ya Fedha Duniani, umetangazwa katika Mkutano wa Mwaka wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa Benki ya Dunia, uliofanyika Jijini Washington D.C, nchini Marekani ambapo mikutano ya mwaka ya Shirika la Fedha Duniani IMF na Benki ya Dunia inafanyika.


Kabla ya kuchaguliwa katika nafasi hiyo, Dk. Kibwe, alihudumu katika Ofisi hiyo ya Bodi kama Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mshauri na Mshauri Mwandamizi kwa zaidi ya miaka saba, tangu mwaka 2017.



 
 
 

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
Nala get $10.png
137092063_4184719214890090_5004613881637175391_n.0.jpeg
social media flyer copy.png
NZALI.jpg

Leo Nzali (nzalinextlevel)

Journalist, Producer and Graphics Designer of this magazine The Diaspora also DallasGospel magazine..
Keep following our pages for more information about the diaspora

Let the posts come to you.

  • Facebook
  • Instagram
  • Twitter
  • Pinterest

Call 

214-971-0534 

Email 

Follow

  • Facebook
  • Twitter
  • LinkedIn
  • Instagram
bottom of page