Hesabu ya Hatima yako(The Math of Destiny) kitabu chenye majibu ya maisha ya Obadiah Mutua
- Leo Nzali

- Mar 9
- 1 min read

Obadiah Mutua ni mzaliwa wa kijiji cha Riakanau jimbo la mashairiki la mlima Kenya, kutoka kabila la wakamba kutoka nchini Kenyaa, ambaye aliahamia Marekani May 2007 na kujiunga na jeshi la Marekani , na ametumikia jeshi kwa muda miaka 18 na nusu, na kustaafu mwaka huu.
katika hadithi ya msataafu huyu ambaye ameandika historia ya maisha yake mpaka kufika hapa katika kupanda na kushuka katika maisha akitoka nyumbani kwao Kenya na kuhamia nchini Tanzania ambako alitumika kama Missionary na kuhubiri injili..
amepitia mambo mengi ambayo tutata yaweka hapa kwa zaidi ingia katika link hii ili uweze kupata nakala yako Amazon https://www.amazon.com/Math-Destiny-Memoir-Grace-American/dp/B0GN2B87BK/ref=sr_1_1?crid=O8RTV6BQSBRS&dib=eyJ2IjoiMSJ9.I8crPU__Md5WTbqJfe4M2w.1pAfurJi9HrHH4WpRsAJo02PNXUs5fgRD6KvRpyfYYI&dib_tag=se&keywords=the+month+of+destiny+obadiah+mutua&qid=1773085837&sprefix=the+month+of+destiny+obadiah+mutua%2Caps%2C132&sr=8-1

Akizindua kitabu hicho juzi katika kongamano la 12 la Umoja International Prayerline Dallas Texas amesema kitabu kimebeba na kufundisha mambo ambayo yatakutia moyo na kutambua hatima yako katika maisha ambayo kimsingi Mungu kaiweka kwa kila mtu.











Comments