top of page
Abstract Background
Search

Wanajiuliza nani atafunga Gwaji Kengere?

  • Writer: Leo Nzali
    Leo Nzali
  • Jul 24, 2025
  • 1 min read

Josephat Gwajima, Mbunge wa Kawe, jijini Dar es Salaam, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), tangu uchaguzi wa 2020, pia ni Askofu wa Glory of Christ Church kwa usajili, maarufu Kanisa la Ufufuo na Uzima, amegonga vichwa vya habari nchini Tanzania katika siku za hivi karibuni.


Ana historia ya matukio na kauli zenye utata (ambazo tutazidurusu huko mbeleni), lakini mara hii Gwajima amejitokeza kama mkosoaji wa matukio ya utekaji na watu kupotea, ambayo yamekuwepo Tanzania kwa kipindi cha muda sasa hata baadhi ya watu waliotekwa kuuawa.


 
 
 

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
Nala get $10.png
137092063_4184719214890090_5004613881637175391_n.0.jpeg
social media flyer copy.png
NZALI.jpg

Leo Nzali (nzalinextlevel)

Journalist, Producer and Graphics Designer of this magazine The Diaspora also DallasGospel magazine..
Keep following our pages for more information about the diaspora

Let the posts come to you.

  • Facebook
  • Instagram
  • Twitter
  • Pinterest

Call 

214-971-0534 

Email 

Follow

  • Facebook
  • Twitter
  • LinkedIn
  • Instagram
bottom of page